Genesis 33:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akajenga madhabahu pale na kupaita El-Elohe-Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko, akajenga madhabahu na kupaita Mungu ni Mungu wa Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akajenga huko pa kutambikia, akapaita Mungu Mwenyewe wa Isiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akajenga huko madhabahu, akaiita, El-elohe-Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, akajenga mazabahu pahali pale na kuiita “Mungu ni Mungu wa Israeli”.