Genesis 33:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Esau akasema, “Nina mali ya kutosha ndugu yangu. Mali yako na iwe yako mwenyewe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Esau akasema, Ninayo tele, ndugu yangu, uliyo nayo na yawe yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Esau akasema, “Nina mali ya kutosha ndugu yangu. Mali yako na iwe yako mwenyewe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Esau akasema, Ninayo tele, ndugu yangu, hifadhi uliyo nayo yawe yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Esau akasema, “Nina mali ya kutosha ndugu yangu. Mali yako na iwe yako mwenyewe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Esau akasema: Mimi ninazo mali nyingi, ndugu yangu; yashike yaliyo yako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Esau akasema, Ninayo tele, ndugu yangu, uliyo nayo na yawe yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Esau akasema: “Nina mali ya kutosha, ndugu yangu. Mali yako ikuwe yako mwenyewe.”