Genesis 34:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niambieni kiasi chochote cha mahari na zawadi, hata kikiwa kikubwa namna gani, nami nitatoa, mradi tu mnioze msichana huyu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mjapoongeza sana mahari na zawadi, nitatoa kadiri ya mtakavyoniambia, lakini mnipe huyu msichana, awe mke wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niambieni kiasi chochote cha mahari na zawadi, hata kikiwa kikubwa namna gani, nami nitatoa, mradi tu mnioze msichana huyu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa cho chote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mjapoongeza sana mahari na zawadi, nitatoa kadiri ya mtakavyoniambia, lakini mnipe huyu msichana, awe mke wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niambieni kiasi chochote cha mahari na zawadi, hata kikiwa kikubwa namna gani, nami nitatoa, mradi tu mnioze msichana huyu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ijapo mtake mali nyingi sana za ukwe na matunzo mengi, nitawapa, kama mtakavyosema; nipeni tu kijana huyu kuwa mke wangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mjapoongeza sana mahari na zawadi, nitatoa kadiri ya mtakavyoniambia, lakini mnipe huyu msichana, awe mke wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muniombe mali na zawadi, hata ikiwa kikubwa namna gani, nami nitatoa, kufuatana na jinsi mutakavyoniambia. Lakini munipatie tu binti huyu kuwa muke wangu.”