Genesis 34:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliwaambia, “Hatuwezi kumwoza dada yetu kwa mtu asiyetahiriwa. Kufanya hivyo ni aibu kwetu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili. Hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hajatahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakawaambia, Hatuwezi kufanya neno hili, tumpe umbu letu mtu asiyetahiriwa; ingekuwa aibu kwetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliwaambia, “Hatuwezi kumwoza dada yetu kwa mtu asiyetahiriwa. Kufanya hivyo ni aibu kwetu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakawaambia, Hatuwezi kufanya neno hili, tumpe dada yetu mtu asiyetahiriwa; ingekuwa aibu kwetu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliwaambia, “Hatuwezi kumwoza dada yetu kwa mtu asiyetahiriwa. Kufanya hivyo ni aibu kwetu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwa hiyo wakasema na kuwaambia: Hatuwezi kulifanya jambo hili, tumpe mtu mwenye govi umbu letu, kwani hivi vitatutia soni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakawaambia, Hatuwezi kufanya neno hili, tumpe umbu letu mtu asiyetahiriwa; ingekuwa aibu kwetu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakawaambia: “Hatuwezi kumwoesha dada yetu kwa mutu asiyetahiriwa. Kufanya hivyo ni haya kwetu.