Genesis 34:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pendekezo lao likakubalika kwa Hamori na Shekemu mwanawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Haya maneno yao yakawa mema machoni pake Hamori napo machoni pake Sikemu, mwana wa hamori.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Pendekezo lao likapendeza Hamori na mwana wake Sekemu.