Genesis 34:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, hamwoni kwamba mifugo yao na mali yao yote itakuwa mali yetu? Haya, tukubaliane nao ili wakae pamoja nasi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, si mifugo yao, mali yao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi tukubali sharti lao, nao wataishi miongoni mwetu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Kondoo zao, na mali zao, na wanyama wao wote hawatakuwa mali zetu? Basi na tupatane nao tu, nao watakaa kwetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, hamwoni kwamba mifugo yao na mali yao yote itakuwa mali yetu? Haya, tukubaliane nao ili wakae pamoja nasi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Kondoo zao, na mali zao, na wanyama wao wote hawatakuwa mali zetu? Basi na tupatane nao tu, nao watakaa kwetu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, hamwoni kwamba mifugo yao na mali yao yote itakuwa mali yetu? Haya, tukubaliane nao ili wakae pamoja nasi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Hivyo makundi yao na mapato yao na nyama wote, wanaowafuga, hawatakuwa mali zetu sisi? Kwa hiyo na tuwaitikie, wakae kwetu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Kondoo zao, na mali zao, na wanyama wao wote hawatakuwa mali zetu? Basi na tupatane nao tu, nao watakaa kwetu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hamuoni kwamba nyama wao wa kufugwa na mali yao yote itakuwa mali yetu? Basi, tukubaliane nao kusudi wakae pamoja nasi.”