Genesis 34:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanaume wote waliokusanyika penye lango la mji huo wakakubaliana na Hamori na mwanawe Shekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe, na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakawasikia Hamori na Shekemu mwanawe, wote watokao katika lango la mji wake. Wakatahiriwa kila mwanamume, wote watokao katika lango la mji wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanaume wote waliokusanyika penye lango la mji huo wakakubaliana na Hamori na mwanawe Shekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakawasikia Hamori na Shekemu mwanawe, wote watokeao katika lango la mji wake. Wakatahiriwa kila mwanamume, wote watokao katika lango la mji wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanaume wote waliokusanyika penye lango la mji huo wakakubaliana na Hamori na mwanawe Shekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wote waliotoka langoni pa mji wakamsikia Hamori na mwanawe Sikemu, wakatahiriwa wa kiume wote pia, ndio wao wote waliotoka langoni pa mji wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakawasikia Hamori na Shekemu mwanawe, wote watokao katika lango la mji wake. Wakatahiriwa kila mwanamume, wote watokao katika lango la mji wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanaume wote waliokusanyika kwenye mulango wa muji ule wakakubaliana na Hamori na mwana wake Sekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.