Genesis 34:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliwaua kwa upanga Hamori na mwanawe Shekemu, wakamtoa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakaenda zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa panga, kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa makali ya upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliwaua kwa upanga Hamori na mwanawe Shekemu, wakamtoa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakaenda zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliwaua kwa upanga Hamori na mwanawe Shekemu, wakamtoa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakaenda zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Hamori na mwanawe Sikemu wakawaua kwa ukali wa panga, kisha wakamchukua Dina nyumbani mwa Sikemu, wakatoka kwenda zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakawaua Hamori, na Shekemu mwanawe, kwa makali ya upanga, wakamtwaa Dina katika nyumba ya Shekemu, wakatoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakawaua kwa upanga Hamori na mwana wake Sekemu, wakamutoa Dina katika nyumba ya Sekemu, wakajiendea.