Genesis 34:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo roho yake ikagandamana naye Dina, binti Yakobo, akampenda huyu kijana, akasema naye maneno mazuri ya kuingia moyoni mwake huyu kijana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Sekemu akavutiwa sana na yule binti, akamupenda hata akaanza kumubembeleza.