Genesis 34:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee umbu letu kama kahaba?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao ndugu wawili wakajibu, “Ana haki gani ya kumtendea dada yetu kama malaya?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wakasema: Je? Tungeacha tu, amtumie umbu letu kama mwanamke mgoni?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee umbu letu kama kahaba?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hao wandugu wawili wakajibu: “Ana haki gani ya kumutendea dada yetu kama kahaba?”