Genesis 34:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shekemu akamwambia Hamori, baba yake, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo akamwambia baba yake Hamori kwamba: Niposee huyu mtoto, awe mke wangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, Sekemu akazungumuza na Hamori baba yake, akamwambia: “Unitwalie binti huyo kuwa muke wangu.”