Genesis 35:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe na wazawa wako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nchi niliyowapa Ibrahimu na Isaka nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na nchi hii niliyowapa Ibrahimu na Isaka nitakupa wewe, na uzao wako baada yako nitawapa nchi hiyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe na wazawa wako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nchi niliyowapa Ibrahimu na Isaka nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na nchi hii niliyowapa Abrahamu na Isaka nitakupa wewe, na uzao wako baada yako nitawapa nchi hiyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe na wazawa wako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo nchi hii, niliyompa Aburahamu na Isaka, nakupa wewe nawe, nao wa uzao wako wajao nyuma yako nitawapa nchi hii.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na nchi hii niliyowapa Ibrahimu na Isaka nitakupa wewe, na uzao wako baada yako nitawapa nchi hiyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Inchi niliyowapa Abrahamu na Isaka nitakupa wewe na wazao wako.”