Genesis 35:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akafariki akiwa mzee wa miaka mingi. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Isaka akapumua pumzi yake ya mwisho, akafa; akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee aliyeshiba siku. Nao Esau na Yakobo, wanawe, wakamzika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Isaka akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake, ni mzee, ameshiba siku. Esau na Yakobo, wanawe, wakamzika
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akafariki akiwa mzee wa miaka mingi. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Isaki akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Isaka akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Isaka akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake, ni mzee, ameshiba siku. Esau na Yakobo, wanawe, wakamzika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akafariki akiwa mzee wa miaka mingi. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Isaka alipozimia, akafa, akachukuliwa kwenda kwao walio wa ukoo wake; naye alikuwa mkongwe mwenye siku za kushiba siku za kuwapo. Kisha wanawe Esau na Yakobo wakamzika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Isaka akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake, ni mzee, ameshiba siku. Esau na Yakobo, wanawe, wakamzika
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akiwa muzee wa miaka mingi, akakufa na kukutana na wazee wake. Watoto wake, Esau na Yakobo wakamuzika.