Genesis 35:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka Padan-aramu akambariki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka Padan-aramu akambariki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akamtokea Yakobo tena, aalipokwisha kurudi Mesopotamia, akambariki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka Padan-aramu akambariki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati alipokuwa akirudi kutoka Padani-Aramu, Mungu akamutokea tena Yakobo na kumubariki.