Genesis 36:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, hao ndio wazawa wa Esau yaani Edomu, kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hao walikuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hao walikuwa wakuu wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hao ni wana wa Esau, na hao ndio majumbe wao; naye Esau ndiye Edomu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, hao ndio wazawa wa Esau yaani Edomu, kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hao ni wana wa Esau, na hao ndio majumbe wao; naye Esau ndiye Edomu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, hao ndio wazawa wa Esau yaani Edomu, kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio wanawe Esau, nao ndio majumbe wao. Hawa ndio Waedomu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hao ni wana wa Esau, na hao ndio majumbe wao; naye Esau ndiye Edomu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, hao ndio wazao wa Esau, maana yake Edomu. Kila mumoja wao akiwa mukubwa wa kabila lake.