Genesis 36:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafuatao ni wazawa wa Seiri, Mhori, na ndio wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, walioishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafuatao ni wazawa wa Seiri, Mhori, na ndio wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafuatao ni wazawa wa Seiri, Mhori, na ndio wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio wana wa Mhori Seiri waliokuwa katika hiyo nchi: Lotani na Sobali na Siboni na Ana,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hawa ndio wazao wa Seiri, Muhori, na ndio wenyeji wa inchi hiyo: Lotani, Sobali, Sibeoni, Ana,