Genesis 36:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake miongoni mwa Wahori wa uzawa wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
na Disoni na Eseri na Disani; hawa ndio majumbe wa Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Disoni, Eseri na Disani; kila mumoja wao akiwa mukubwa wa kabila lake kati ya Wahori wa uzao wa Seiri, katika inchi ya Edomu.