Genesis 36:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watoto wa Ana walikuwa Dishoni na dada yake mmoja aitwaye Oholibama.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti Ana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watoto wa Ana walikuwa Dishoni na dada yake mmoja aitwaye Oholibama.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watoto wa Ana walikuwa: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watoto wa Ana walikuwa Dishoni na dada yake mmoja aitwaye Oholibama.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao hawa ndio wana wa Ana: Disoni na Oholibama, binti Ana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watoto wa Ana walikuwa Disoni na binti mumoja jina lake Oholibama.