Genesis 36:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watoto wa kiume wa Eseri walikuwa Bilhani Zaawani na Akani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watoto wa kiume wa Eseri walikuwa Bilhani Zaawani na Akani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Ezeri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watoto wa kiume wa Eseri walikuwa Bilhani Zaawani na Akani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio wana wa Eseri: Bilihani na Zawani na Akani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Eseri walikuwa Bilihani, Zawani, na Akani.