Genesis 36:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake katika nchi ya Seiri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Dishoni, Eseri na Dishani. Hao walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake katika nchi ya Seiri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Dishoni, Ezeri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Dishoni, Eseri na Dishani; kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake katika nchi ya Seiri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
jumbe Disoni, jumbe Eseri, jumbe Disani; hawa ndio majumbe wa Wahori walioushika ujumbe wao katika nchi ya Seiri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Disoni, Eseri na Disani; kila mumoja wao akiwa mukubwa wa kabila lake katika inchi ya Seiri.