Genesis 36:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akatawala baada yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemani, alitawala badala yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yobabu alipokufa, Husamu wa nchi ya Watemani akawa mfalme mahali pake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yobabu alipokufa, Husamu wa inchi ya Watemani, akatawala pahali pake.