Genesis 36:40 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakuu wa makabila yaliyotokana na Esau, kadiri ya makabila yao na makazi yao walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakuu wa makabila yaliyotokana na Esau, kadiri ya makabila yao na makazi yao walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakuu wa makabila yaliyotokana na Esau, kadiri ya makabila yao na makazi yao walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Haya ndiyo majina ya majumbe wa Esau, tena ndivyo, walivyoitwa majina yao kwa ndugu zao napo mahali pao, walipokaa: Jumbe Timuna, jumbe Alwa, jumbe Yeteti,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakubwa wa makabila yaliyotokana na Esau kadiri ya makabila yao na makao yao walikuwa: Timuna, Alwa, Yeteti,