Genesis 36:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Oholibama alimzalia Yeushi, Yalamu na Kora. Hao ndio watoto wa kiume wa Esau ambao wake zake walimzalia alipokaa katika nchi ya Kanaani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Oholibama akawazaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Oholibama alimzalia Yeushi, Yalamu na Kora. Hao ndio watoto wa kiume wa Esau ambao wake zake walimzalia alipokaa katika nchi ya Kanaani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Oholibama alimzalia Yeushi, Yalamu na Kora. Hao ndio watoto wa kiume wa Esau ambao wake zake walimzalia alipokaa katika nchi ya Kanaani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Oholibama akamzaa Yeusi na Yalamu na Kora.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Oholibama alimuzalia Yeusi, Yalamu na Kora. Hao ndio wana wa Esau ambao wake zake walimuzalia alipokaa katika inchi ya Kanana.