Genesis 36:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, Esau akaenda kukaa katika nchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya vilima ya Seiri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, Esau akaenda kukaa katika nchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, Esau akaenda kukaa katika nchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Esau akaenda kukaa vilimani kwa Seiri, naye Esau ndiye Edomu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, Esau akakwenda kukaa katika inchi ya milima ya Seiri. Jina lingine la Esau ni Edomu.