Genesis 37:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yakobo aliendelea kukaa katika nchi ya Kanaani, alimoishi baba yake kama mgeni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yakobo akakaa katika nchi hiyo, baba yake alikokaa ugenini, ndio nchi ya Kanaani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yakobo akakaa katika nchi aliyosafiri baba yake, katika nchi ya Kanaani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yakobo akaendelea kukaa katika inchi ya Kanana, ambamo baba yake aliishi kama mugeni.