Genesis 37:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akawa analifikiria jambo hilo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, kaka zake walipomwonea wivu, lakini baba yake akayashika maneno hayo na kuyaangalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wandugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akakuwa anafikiri juu ya jambo hilo.