Genesis 37:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akajibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akajibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yosefu akamjibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Tafadhali, niambie mahali wanakochunga wanyama.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akasema: Ninawatafuta kaka zangu; niambie, wanakochungia mbuzi na kondoo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Nawatafuta ndugu zangu; tafadhali uniambie mahali wanakochunga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yosefu akamujibu: “Ninatafuta wandugu zangu. Tafazali, uniambie pahali wanakochungia nyama.”