Genesis 37:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akarudi kwa ndugu zake, akasema, Mtoto hayuko, nami niende wapi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akarudi kwa ndugu zake, akasema, Mtoto hayuko, nami niende wapi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akawaendea ndugu zake, akawaambia, “Kijana hayupo nami niende wapi?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akarudi kwa ndugu zake, akawaambia: Mtoto hayumo, mimi nami niende wapi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akarudi kwa ndugu zake, akasema, Mtoto hayuko, nami niende wapi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akaendea wandugu zake, akawaambia: “Kijana hayuko, nami niende wapi?”