Genesis 37:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wakachinja mbuzi, wakaichukua kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya huyo mbuzi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha wakalichukua lile joho la Yusufu, wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaitwaa kanzu ya Yusufu, wakachinja mwana-mbuzi, na kuichovya kanzu katika damu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wakachinja mbuzi, wakaichukua kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya huyo mbuzi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha wakalichukua lile joho la Yosefu, wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha wakalichukua lile joho la Yusufu, wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaitwaa kanzu ya Yusufu, wakachinja mwana-mbuzi, na kuichovya kanzu katika damu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wakachinja mbuzi, wakaichukua kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya huyo mbuzi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha wakaichukua kanzu ya Yosefu, wakachinja dume la mbuzi, wakaichovya hiyo kanzu katika damu yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaitwaa kanzu ya Yusufu, wakachinja mwana-mbuzi, na kuichovya kanzu katika damu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, wakachinja mbuzi, wakaitwaa kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya yule mbuzi.