Genesis 37:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda Yosefu kuliko wao, wakamchukia hata hawakuzungumza naye kwa amani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yusufu kuliko yeyote kati yao, walimchukia na hawakusema naye neno lolote jema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda Yosefu kuliko wao, wakamchukia hata hawakuzungumza naye kwa amani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko ye yote mwingine miongoni mwao, walimchukia na hawakusema naye neno lo lote jema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yusufu kuliko yeyote mwingine miongoni mwao, walimchukia na hawakusema naye neno lolote jema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda Yosefu kuliko wao, wakamchukia hata hawakuzungumza naye kwa amani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kaka zake walipoona, ya kuwa baba yao alimpenda kuliko ndugu zake, wakamchukia, hawakuweza kusema naye kwa upole.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndugu zake wakaona ya kuwa baba yao anampenda kuliko ndugu zake wote, wakamchukia, wala hawakuweza kusema naye kwa amani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wandugu zake walipoona kwamba baba yao alimupenda Yosefu kuliko wao, wakamuchukia hata hawakuzungumuza naye kwa amani.