Genesis 38:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake, akaenda kuishi na Hira Mwadulami.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake akaenda kuishi na Hira Mwadulami.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake, akaenda kuishi na Hira Mwadulami.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa wakati huo, ndipo, Yuda alipoondoka kwa ndugu zake, akajiunga na mtu wa Adulamu, jina lake Hira.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati ule, Yuda akatengana na wandugu zake, akakwenda kukaa na mutu mumoja Mwadulami, jina lake Hira.