Genesis 38:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yuda alipomwona alifikiri ni kahaba, kwa sababu alikuwa amefunika uso wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yuda alipomwona alifikiri ni kahaba, kwa sababu alikuwa amefunika uso wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yuda alipomwona alifikiri ni kahaba, kwa sababu alikuwa amefunika uso wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yuda alipomkuta Tamari hapo, alimdhania kuwa mwanamke malaya, kwani alikuwa amejifunika uso.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuda alipomwona akamwazia kuwa mwanamke mgoni, kwani alijifunika ushungi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Yuda alipokuta Tamari pale, alimuzania kuwa mwanamuke kahaba, maana alikuwa akijifunika uso.