Genesis 38:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yuda akasema, “Acha avichukue vitu hivyo, la sivyo atatufanya tuchekwe. Wewe mwenyewe umeona kwamba nilimpelekea mwanambuzi, lakini wewe hukumpata.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Yuda akasema, “Mwache avichukue vitu hivyo, ama sivyo tutaaibika. Hata hivyo, nilimpelekea mwana-mbuzi, lakini hukumkuta.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yuda akasema, Na aichukue yeye, tusije tukatiwa aibu; tazama, nimempelekea mbuzi huyu, wala hukumkuta.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yuda akasema, “Acha avichukue vitu hivyo, la sivyo atatufanya tuchekwe. Wewe mwenyewe umeona kwamba nilimpelekea mwanambuzi, lakini wewe hukumpata.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Yuda akasema, “Mwache avichukue vitu hivyo, ama sivyo tutakuwa kichekesho. Hata hivyo, nilimpelekea mwana-mbuzi, lakini hukumkuta.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Yuda akasema, “Mwache avichukue vitu hivyo, ama sivyo tutakuwa kichekesho. Hata hivyo, nilimpelekea mwana-mbuzi, lakini hukumkuta.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yuda akasema, Na aichukue yeye, tusije tukatiwa aibu; tazama, nimempelekea mbuzi huyu, wala hukumkuta.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yuda akasema, “Acha avichukue vitu hivyo, la sivyo atatufanya tuchekwe. Wewe mwenyewe umeona kwamba nilimpelekea mwanambuzi, lakini wewe hukumpata.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Yuda aliposema: Na ajitwalie, tusije kutwezwa! Tazama, nimempeleka huyu dume la mbuzi, nawe hukumwona!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yuda akasema, Na aichukue yeye, tusije tukatiwa aibu; tazama, nimempelekea mbuzi huyu, wala hukumkuta.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yuda akasema: “Acha avichukue vitu hivyo. Kama sivyo atatufanya tuchekelewe. Wewe mwenyewe umeona kwamba nilimupelekea mwana-mbuzi, lakini wewe haukumupata.”