Genesis 38:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati wa kujifungua kwake Tamari ulipofika, ikafahamika kuwa alikuwa na mimba ya mapacha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa na wana mapacha tumboni mwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, wakati wake wa kuzaa walikuwapo mapacha tumboni mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati wa kujifungua kwake Tamari ulipofika, ikafahamika kuwa alikuwa na mimba ya mapacha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa na wana mapacha tumboni mwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa na wana mapacha tumboni mwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, wakati wake wa kuzaa walikuwapo mapacha tumboni mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati wa kujifungua kwake Tamari ulipofika, ikafahamika kuwa alikuwa na mimba ya mapacha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku zake za kuzaa zilipotimia, wakaona ya kuwa tumboni mwake wamo wana wa pacha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, wakati wake wa kuzaa walikuwapo mapacha tumboni mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati wa kuzaa kwa Tamari ulipofika, ikafahamika kwamba alikuwa na mimba ya mapacha.