Genesis 38:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha ndugu yake, aliyekuwa na uzi mwekundu mkononi, akatoka, naye akaitwa Zera.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akatoka ndugu yake baadaye, ana uzi mwekundu mkononi mwake; naye akaitwa jina lake Zera.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha ndugu yake, aliyekuwa na uzi mwekundu mkononi, akatoka naye akaitwa Zera.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha ndugu yake, aliyekuwa na uzi mwekundu mkononi, akatoka, naye akaitwa Zera.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akatoka ndugu yake baadaye, ana uzi mwekundu mkononi mwake; naye akaitwa jina lake Zera.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadaye ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu mkononi, naye akaitwa Zera.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha ndugu yake akatoka naye mwenye uzi mwekundu mkononi pake, kwa hiyo wakamwita jina lake Zera (Mwekundu).
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akatoka ndugu yake baadaye, ana uzi mwekundu mkononi mwake; naye akaitwa jina lake Zera.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha ndugu yake akazaliwa akiwa na ule uzi mwekundu kwenye mukono, naye akaitwa Zera.