Genesis 38:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yuda akamtwalia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aliyeitwa Tamari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wa kwanza mke, aitwaye Tamari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aitwaye Tamari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yuda akamwoza mwanawe wa kwanza Eri, jina lake mkewe ni Tamari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yuda alimwoea mutoto wake wa kwanza Eri mwanamuke anayeitwa Tamari.