Genesis 39:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Aliposikia nikipiga yowe, akaacha vazi lake kando yangu, akakimbilia nje.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliposikia napiga kelele, aliliacha vazi lake, akakimbilia nje!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye aliposikia, ya kama nimezipaza sauti zangu za kuita watu, akaiacha nguo yake kwangu, akakimbia kwenda nje.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliposikia ninapiga kelele, akaacha nguo yake, akakimbilia inje!”