Genesis 39:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mara nilipopiga yowe kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu, akakimbia nje ya nyumba.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mara tu nilipopiga kelele, aliliacha vazi lake na kukimbilia nje.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini nilipozipaza sauti zangu za kuita watu, akaiacha nguo yake kwangu, akakimbia kwenda nje.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa nilipopaza sauti yangu, nikalia, akaacha nguo yake kwangu akakimbia nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mara tu nilipopiga kelele, akaacha nguo yake na kukimbilia inje.”