Genesis 39:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Potifa akamchukua Yusufu na kumtia gerezani, mahali wahalifu wa mfalme walipokuwa wamefungwa. Lakini Yusufu alipokuwa huko gerezani,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali walipofungwa wafungwa wa mfalme, naye akawamo humo gerezani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Potifa akamchukua Yusufu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa. Lakini wakati Yusufu alipokuwa huko gerezani,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akamchukua Yosefu na kumtia gerezani, mahali walipofungwa wahalifu wa mfalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, bwana wake Yosefu alipomchukua, akamfunga kifungoni mle chumbani, mlimokuwa na wafungwa wa mfalme; humo kifungoni ndimo, Yosefu alimotiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali walipofungwa wafungwa wa mfalme, naye akawamo humo gerezani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akamutwaa Yosefu na kumutia katika kifungo, pahali wafungwa wa mufalme walipokuwa. Lakini hata mule katika kifungo,