Genesis 4:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lameki alioa wanawake wawili: mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada na mwingine Sila.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lameki akajichukulia wake wawili, jina lake wa kwanza ni Ada, jina lake wa pili ni Sila.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.