Genesis 40:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Farao akawaghadhibikia maakida wake wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Farao akawaghadhibikia maofisa wake wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Farao aliwakasirikia hao maofisa wake wawili,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Farao akawakasirikia hawa watumishi wake wawili wa nyumbani mwake, Yule mkuu wa watunza vinywaji naye mkuu wa wachoma mikate.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Farao akawaghadhibikia maakida wake wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme wa Misri akawakasirikia wale wakubwa wake wawili,