Genesis 40:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, kama Yusufu alivyowafasiria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyowafasiria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yusufu alivyowaambia katika tafsiri yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyowafasiria.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini yule mwoka mkate mkuu akamtundika mtini, kama Yosefu alivyokuwa amewatafsiria ndoto zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye mkuu wa wachoma mikate akamnyonga, kama Yosefu alivyowafumbulia ndoto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyowafasiria.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini yule mupishi mukubwa wa mikate akamutundika juu ya muti, kama vile Yosefu alivyokuwa amewaelezea ndoto zao.