Genesis 40:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akawafungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi, katika gereza, mahali alipofungwa Yosefu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa walinzi, katika gereza lile lile alimofungwa Yusufu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawatia katika lindo nyumbani mwa mkuu wa askari, humo gerezani, mahali alipofungwa Yusufu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akawafungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi, katika gereza, mahali alipofungwa Yosefu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yosefu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yusufu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawatia katika ulinzi nyumbani mwa mkuu wa askari, humo gerezani, mahali alipofungwa Yusufu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akawafungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi, katika gereza, mahali alipofungwa Yosefu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawafunga, waangaliwe kifungoni katika nyumba ya mkuu wao waliomlinda mfalme; ndimo, Yosefu alimokuwa naye kwa kufungwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawatia katika lindo nyumbani mwa mkuu wa askari, humo gerezani, mahali alipofungwa Yusufu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akawafungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi, katika kifungo, pahali Yosefu alipofungwa.