Genesis 40:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mkuu wa walinzi akawakabidhi kwa Yusufu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumu, nao wakakaa siku kadha wa kadha katika kifungo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yusufu, naye akawahudumia. Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumia, nao wakakaa siku kadhaa katika kifungo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkuu wa kikosi cha ulinzi akamteua Yosefu awatumikie. Nao wakawa kifungoni kwa muda fulani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkuu wao waliomlinda mfalme akamweka Yosefu kuwaangalia na kuwatumikia, wakawamo hizo siku wakiangaliwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumu, nao wakakaa siku kadha wa kadha katika kifungo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukubwa wa waaskari walinzi akachagua Yosefu awatumikie. Nao wakakuwa katika kifungo kwa muda fulani.