Genesis 40:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtunza vinywaji mkuu wa mfalme akamsimulia Yosefu ndoto yake, akisema, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yusufu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mnyweshaji mkuu akamhadithia Yusufu ndoto yake; akamwambia, Katika ndoto yangu nimeota, uko mzabibu mbele yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtunza vinywaji mkuu wa mfalme akamsimulia Yosefu ndoto yake, akisema, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yosefu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yusufu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mnyweshaji mkuu akamhadithia Yusufu ndoto yake; akamwambia, Katika ndoto yangu nimeota, uko mzabibu mbele yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtunza vinywaji mkuu wa mfalme akamsimulia Yosefu ndoto yake, akisema, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkuu wao watunza vinywaji akamsimulia ndoto yake, akamwambia: Katika ndoto yangu nimeona machoni pangu mzabibu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mnyweshaji mkuu akamhadithia Yusufu ndoto yake; akamwambia, Katika ndoto yangu nimeota, uko mzabibu mbele yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutunza vinywaji mukubwa wa mufalme akamwelezea Yosefu ndoto yake, akisema: “Katika ndoto yangu niliona muzabibu mbele yangu,