Genesis 42:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sisi ni ndugu, wana wa baba mmoja. Sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu watu wa kweli sisi; watumwa wako si wapelelezi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sisi ni ndugu, wana wa baba mmoja. Sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu watu wa kweli sisi; watumwa wako si wapelelezi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sisi ni ndugu, wana wa baba mmoja. Sisi ni watu waaminifu, na wala si wapelelezi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sisi sote tu wana wa mtu mmoja, sisi tu watu wa kweli; watumwa wako hawajawa bado wapelelezi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sisi sote ni wana wa mtu mmoja tu watu wa kweli sisi; watumwa wako si wapelelezi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sisi ni ndugu, wana wa baba mumoja. Sisi ni watu waaminifu, wala si wapelelezi.”