Genesis 42:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku ya tatu, Yusufu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yusufu akawaambia siku ya tatu, Fanyeni hivi, mkaishi, maana mimi namcha Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku ya tatu Yusufu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku ya tatu, Yusufu akawaambia, Fanyeni hivi, mkaishi, maana mimi namcha Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Kwa kuwa mimi ni mcha Mungu, fanyeni hivi ili mpate kuishi:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya tatu Yosefu akawaambia: Fanyeni hivi, mpate kupona! Kwani mimi ni mtu mwenye kumcha Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yusufu akawaambia siku ya tatu, Fanyeni hivi, mkaishi, maana mimi namcha Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku ya tatu Yosefu akawaambia: “Kwa sababu ninamwogopa Mungu, mufanye hivi kusudi mupate kuishi: