Genesis 42:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nimesikia kwamba Misri kuna nafaka. Nendeni huko mkanunue nafaka tusije tukafa njaa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Teremkeni huko mkatununulie chakula, ili tuweze kuishi wala tusife.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Angalia, nimesikia ya kuwa kuna nafaka Misri; shukeni huko mkatununulie chakula, tupate kuishi wala tusife.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nimesikia kwamba Misri kuna nafaka. Nendeni huko mkanunue nafaka tusije tukafa njaa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Angalia, nimesikia ya kuwa kuna nafaka Misri; shukeni huko mkatununulie chakula, tupate kuishi wala tusife.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nimesikia kwamba Misri kuna nafaka. Nendeni huko mkanunue nafaka tusije tukafa njaa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akasema: Tazameni, nimesikia, ya kuwa Misri vyakula viko! Telemkeni kwenda huko, mtununulie ngano huko, tupate kupona, tusife!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Angalia, nimesikia ya kuwa kuna nafaka Misri; shukeni huko mkatununulie chakula, tupate kuishi wala tusife.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nimesikia kwamba Misri kuna ngano. Muende kule mununue ngano tusikufe na njaa.”