Genesis 42:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wao hawakujua kuwa Yosefu alielewa yote hayo waliyosema, maana alipoongea nao ilikuwa kwa njia ya mkalimani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawakujua kuwa Yusufu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala hawakujua ya kwamba Yusufu anawasikia, kwa sababu alikuwapo mkalimani kati yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wao hawakujua kuwa Yosefu alielewa yote hayo waliyosema, maana alipoongea nao ilikuwa kwa njia ya mkalimani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawakujua kuwa Yosefu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawakujua kuwa Yusufu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala hawakujua ya kwamba Yusufu anawasikia, kwa sababu alizungumza nao kupitia kwa mkalimani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wao hawakujua kuwa Yosefu alielewa yote hayo waliyosema, maana alipoongea nao ilikuwa kwa njia ya mkalimani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao hawakujua, ya kuwa Yosefu amewasikia, kwa kuwa walikuwa wanaye mkalimani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala hawakujua ya kwamba Yusufu anawasikia, kwa sababu alikuwapo mkalimani kati yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wao hawakujua kwamba Yosefu alielewa yote yale waliyosema, maana alipoongea nao ilikuwa kwa njia ya mutafsiri.