Genesis 42:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipowasili nchini Kanaani kwa baba yao Yakobo, walimsimulia yote yaliyowapata, wakamwambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaja kwa Yakobo, baba yao, katika nchi ya Kanaani, wakampasha habari za yote yaliyowapata, wakisema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipowasili nchini Kanaani kwa baba yao Yakobo, walimsimulia yote yaliyowapata, wakamwambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaja kwa Yakobo, baba yao, katika nchi ya Kanaani, wakampasha habari za yote yaliyowapata, wakisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipowasili nchini Kanaani kwa baba yao Yakobo, walimsimulia yote yaliyowapata, wakamwambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waliporudi kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani wakamsimulia yote yaliyowapata njiani, wakasema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaja kwa Yakobo, baba yao, katika nchi ya Kanaani, wakampasha habari za yote yaliyowapata, wakisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipofika katika inchi ya Kanana kwa baba yao Yakobo, wakamwelezea yote yaliyowapata, wakamwambia: